Tuesday, November 1, 2016

Mambo vipi Network Marketers!!!! Leo Champions napenda ku share na nyinyi jinsi ya kupata Prospects kwenye Biashara yako. Kupata prospects naifananisha kama kuwa mvuvi. Ili kuweza kuwa mvuvi mzuri inabidi utumie chambo kuvutia samaki...usipofanya hivyo samaki watakukimbia.
  Hivyo hivyo kwenye Biashara ya Mtandao inadidi uwavutie wateja wako yaani Prospects. Kwenye video hii naelezea jinsi ya kufanya hivyo...
Hivyo basi ni vizuri kutambua mbinu mpya za kupata Prospects ili kuweza kukuza Biashara yako.
Nitumie Ujumbe mfupi kwenye Whatsapp : 0774 710 354
Niambie kwamba uko tayari kufanya kazi na mimi nikuonyeshe jinsi Kuwa na Biashara Kubwa.
Let's Connect
Facebook https://www.facebook.com/Mwawado/posts/
Instagram Mwawado
Niachie comment kama unahitaji training yeyote ile na niambie ungependa nielezee zaidi kuhusu maswala yapi.
Nawapenda Network Marketers wenzangu na Mungu Awabariki ni  mimi Network Marketer mwenzako Mwawado.



                                                    

No comments:

Post a Comment